Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man U, Liverpool vitani kwa mlinzi wa Liverkusen

Odilon Kossounou Odilon Kossounou

Mon, 20 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Manchester United wanataka kumsajili beki wa Bayer Leverkusen, Odilon Kossounou mwishoni mwa msimu huu.

Taarifa zinasema Man U wanaongoza mbio za kuwania saini ya mchezaji huyo, lakini wanakabiliana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao Liverpool.

Beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 23 amekuwa tegemeo kwenye klabu yake na aina ya uchezaji wake umezivutia klabu nyingi kubwa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live