Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi ya Uingereza imeipa tarehe klabu ya Manchester City ya kusikiliza kesi yao inayowakabili ya ukiukwaji wa Sheria za FFP.
Man City inakabiliwa na kesi 115 za Ukiukwaji wa kanuni na Uendeshaji wa Klabu wa ligi kuu nchini Uingereza na kesi hizo zimepangwa kusikilizwa mapema kuanzia wiki Ijayo ya January 22 .
Awali adhabu ilipangwa Aidha kukatwa alama 30 kwenye msimamo au kushushwa daraja la kwanza
Chanzo: www.tanzaniaweb.live