Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester City imewafungia mashabiki wawili baada ya kupigwa picha wakidhihaki kifo cha gwiji wa soka wa klabu ya Manchester United na timu yataifa ya England Sir Bobby Charlton katika uwanja wa Etihad wikiendi iliyopita.
Klabu ya Manchester City imewafungia mashabiki wawili baada ya kupigwa picha wakidhihaki kifo cha gwiji wa soka wa klabu ya Manchester United na timu yataifa ya England Sir Bobby Charlton katika uwanja wa Etihad wikiendi iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live