Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mara ya pili mfululizo Man City imechaguliwa kuwa klabu bora ya Mwaka ya Dunia kwa upande wa Wanaume
Kwa mara ya pili mfululizo Man City imechaguliwa kuwa klabu bora ya Mwaka ya Dunia kwa upande wa Wanaume Man City imebeba Tuzo hiyo Jana Oktoba 30 Jijini Paris nchini Ufaransa ambapo msimu uliopita Klabu hiyo ilibeba Treble.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live