Thu, 17 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester City imetwaa kombe la UEFA Super Cup kufuatia ushindi wa penalti 5-4 dhidi ya Sevilla baada ya sare ya 1-1 kwenye muda wa kawaida wa mchezo katika dimba la Georgios Karaiskakis Piraeus Ugiriki.
FT: MAN CITY 1-1 ???????? SEVILLA (P 5-4)
⚽ Palmer 63
⚽ En-Nesyri 25'
MATUTA:
MAN CITY ✅✅✅✅✅
SEVILLA: ✅✅✅✅❌
Pep Guardiola na vijana wake wamekusanya kikombe cha nne ndani ya mwaka 2023.
✅ UEFA Super Cup
✅ UEFA Champions League
✅ Premier League
✅ FA Cup
Huu ni ubingwa wa kwanza wa UEFA Super Cup katika historia ya Manchester City.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: