Sat, 12 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa West Ham Lucas Paqueta amekubali kusaini mkataba wa miaka 6 kujiunga na Man City,
Man City ilitoa ofa ya €85m pamoja na nyongeza ya €10m kama bonasi lakini West ham ilisisitiza kuwa inataka ada ya €110m bila kuwa na bonasi,
Man City inauhakika wa kumpata Paqueta kutokana na mchezaji kulazimisha kujiunga na klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live