Mon, 7 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tayari Manchester City imemuwekea mezani ofa ya mkataba mpya beki wake, Kyle Walker ili kumzuia asijiunge na Bayern Munich katika dirisha hili.
Tayari Manchester City imemuwekea mezani ofa ya mkataba mpya beki wake, Kyle Walker ili kumzuia asijiunge na Bayern Munich katika dirisha hili. Walker alidaiwa kuwa kwenye mpango wa kutaka kuondoka kwani hana furaha kwenye kikosi cha kwanza cha Man City kutokana na kukosa nafasi kubwa ya kucheza mara kwa mara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live