Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man City ni mwendo wa kimya kimya EPL

Raheem Sterling Raheem Mfungaji wa moja ya Magoli ya City

Mon, 22 Nov 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mabingwa watetezi wa EPL, Manchester City wameibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad.

Mabao ya Man City katika kipute hicho yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 44, Rodri dakika ya 55 na Bernardo Silva dakika ya 86.

Kwa ushindi huo, Man City wanafikisha pointi 26, wakizidiwa tatu na vinara, Chelsea baada ya wote kucheza mechi 12.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live