Mon, 25 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mara ya mwisho Manchester City kukutana na Arsenal waliibuka na ushindi wa goli 4-1 na katika kiungo cha City alikuwepo Rodri, Gundogan na De Bruyne.
Mara hii Manchester City anaenda kukutana na Arsenal bila nyota hawa watatu, unadhani Arsenal ataisumbua City ?.
Gundogan ametimkia Barcelona, Kelvin De Bruyne anauguza majeraha huku Rodri akiwa na adhabu ya kadi nyekundu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live