Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man City kushushwa daraja

Manchester City FC Badge.png Man City kushushwa daraja

Fri, 19 Jan 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Manchester City itakumbana na adhabu ya Kushushwa daraja endapo itakutwa na hatia ya Makosa ya FFP,lakini hatua hii itabaki kuwa ya matazamio na haina uwezekano wa kukubalika moja kwa moja .

Adhabu hii itatokana na hatia ya mashitaka ya makosa 115 yanayowakabili ya kuvunja kanuni za Uendeshaji wa vilabu EPL

Adhabu zingine ni kukatwa alama 30 na kupigwa faini hii itategemea na msimamizi wa kesi hiyo ataamua kutoa hukumu ipi kama akiwakuta na hatia.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live