Sat, 17 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester City wapo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mlinzi wa RB Leipzig, Josko Gvardiol.
Manchester City wapo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mlinzi wa RB Leipzig, Josko Gvardiol. City wanafanya makubaliano ya maslahi binafsi na Josko kwani RB Leipzig wapo tayari kumuuuza kwa timu yoyote itakayofikia kiasi wanachotaka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live