Thu, 30 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Manchester City Erling Braut Haaland hajaonekana kwenye mazoezi ya leo asubuhi kuelekea mechi ya EPL dhidi ya Liverpool siku ya Jumamosi.
Mshambuliaji wa Manchester City Erling Braut Haaland hajaonekana kwenye mazoezi ya leo asubuhi kuelekea mechi ya EPL dhidi ya Liverpool siku ya Jumamosi. Alijiondoa kwenye majukumu ya kimataifa akiwa na Norway baada ya kusumbuliwa na paja, na huenda akakosa mechi ya Man City dhidi ya Liverpool Jumamosi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live