Tue, 22 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester City wamefikia makubaliano na Rennes kuhusu usajili wa winga Jeremy Doku kwa dau la Euro Milioni 60
Manchester City wamefikia makubaliano na Rennes kuhusu usajili wa winga Jeremy Doku kwa dau la Euro Milioni 60 Vipimo vya afya kufanyika wiki hii , maslahi binafsi wameshakubaliana baina ya Klabu na Mchezaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live