Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa ya Daily Mail na The Sun Football inaeleza kuwa Klabu za Manchester City na Chelsea Football Club huwenda zikaondolewa katika ligi kuu ya nchini Uingereza EPL endapo zitakutwa na Makosa ya FFP (Financial Fair Play) wanayotuhumiwa nayo Kwa zaidi ya miaka 10 kwa kila mmoja.
Taarifa ya Daily Mail na The Sun Football inaeleza kuwa Klabu za Manchester City na Chelsea Football Club huwenda zikaondolewa katika ligi kuu ya nchini Uingereza EPL endapo zitakutwa na Makosa ya FFP (Financial Fair Play) wanayotuhumiwa nayo Kwa zaidi ya miaka 10 kwa kila mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live