Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man City Bingwa EPL 2023/24

Manchester City.jpeg Man City Bingwa EPL 2023/24

Sat, 18 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Utabiri wa mwisho wa msimu wa Ligi kuu kandanda England kwa mujibu wa Super Computer umeeleza kuwa Manchester City watakuwa mabingwa wa Ligi kwa msimu wa 2023/24.

Kwa mujibu wa super Computer hiyo imeeleza Arsenal pia itaonyesha upinzani mkubwa lakini itamaliza nafasi ya pili ya msimamo na licha ya Everton kupokwa alama 10 lakini haitashuka daraja.

Msimamo wa Ligi utakavyokuwa baada ya Ligi kuisha.

1. Manchester City

2. Arsenal

3. Liverpool

4. Newcastle United

5. Aston Villa

6. Tottenham Hotspurs

7. Chelsea

8. Manchester United

9. Brighton

10. Brentford

11. Westham United

12. Wolveshampton

13. Crystal Palace

14. Nottingham Forest

15. Fulham

16. Bournemouth

17. Everton

18. Burnley

19. Luton

20. Sheffield United.

Unakubaliana na Super Computer kuwa msimamo hivi mwisho wa msimu ?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live