Mon, 1 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi, Manchester City wametoa ya bila mabao na Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jana Jumapili Machi 31 Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
Mabingwa watetezi, Manchester City wametoa ya bila mabao na Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jana Jumapili Machi 31 Uwanja wa Etihad Jijini Manchester. Matokeo hayo yanaifanya Manchester City ifikishe pointi 64, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikizidiwa pointi moja na Arsenal na wote wakiwa nyuma ya Liverpool yenye pointi 67 kufuatia timu zote kucheza mechi 29.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live