Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini imeachia uzi ambao utatumika msimu huu kwenye mashindano ya African Football League.
Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini imeachia uzi ambao utatumika msimu huu kwenye mashindano ya African Football League. Wataanza kutumia uzi huu kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza dhidi ya Petro Atletico De Luanda ya Angola Oktoba 21.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live