Mamelodi wameandika rekodi mpya kuwa klabu ya kwanza DSTV premiership kushinda mechi zote (9) za kwanza mfululizo.
Wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi kuu wakiwa na mechi (4) za kiporo !
1. Mechi 09 alama 27 — Mamelodi Sundowns
2. Mechi 13 alama 25 — Cape Town City
3. Mechi 13 alama 23 — Super sport
4. Mechi 13 alama 20 — Stellenbosch
Full — Super sport 0 - 2 Mamelodi
⚽️ Peter Shalulile — 31'
⚽️ Lucas Ribeiro Costa — 45+1
Mamelodi wanalisaka kombe lao la (7) mfululizo la ligi kuu ya Afrika Kusini :
2023 - 24⚠️
2022 - 23✅
2021 - 22✅
2020 - 21✅
2019 - 20✅
2018 - 19✅
2017 - 18✅
Mamelodi wameivunja rekodi iliyowekwa na Kaizer chiefs miaka ya nyuma ya kushinda mechi nane za kwanza mfululizo.