Sat, 20 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo mchezo wa pili nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Wydad Casablanca katika uwanja wa Loftus Versfeld, Afrika Kusini huku mchezo wa kwanza walitoka suluhu nchini Morocco.
Leo mchezo wa pili nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Wydad Casablanca katika uwanja wa Loftus Versfeld, Afrika Kusini huku mchezo wa kwanza walitoka suluhu nchini Morocco. Al Ahly jana imefanikiwa kutinga fainali baada ya kuitoa Esperance kwa ushindi wa mabao 4-0, Al Ahly na kusubiri mchezo Mamelodi dhidi Wydad
Chanzo: www.tanzaniaweb.live