Thu, 18 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mamelodi Sundowns hapo jana walikabidhiwa Kombe lao mara baada ya kutwaa taji hilo Msimu wa 2022/23. Hii ni mara ya sita mfululizo kwa Klabu hiyo kutwaa Ubingwa wa Ligi ya Afrika Kusini chini ya udhamini wa DSTV.
Mamelodi Sundowns hapo jana walikabidhiwa Kombe lao mara baada ya kutwaa taji hilo Msimu wa 2022/23. Hii ni mara ya sita mfululizo kwa Klabu hiyo kutwaa Ubingwa wa Ligi ya Afrika Kusini chini ya udhamini wa DSTV. Ilianza chukuwa mataji ya ubingwa toka msimu wa 2017/19, 2018/19, 2019/20, 2020/21, 2021/22, na msimu huu wa 2022/23 imebeba tena taji hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live