Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mamelod Sundowns wameanza harakati za kuiwania saini ya mshambuliaji wa klabu ya Cape Town city inayoshiriki ligi kuu Afrika ya kusini Khanyisa Mayo.
Klabu ya Mamelod Sundowns wameanza harakati za kuiwania saini ya mshambuliaji wa klabu ya Cape Town city inayoshiriki ligi kuu Afrika ya kusini Khanyisa Mayo. Mayo amekua katika kiwango Bora Sana msimu uliopita akifunga mabao 16 na mamelodi wanaamini kuwa atakuwa msaada kwao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live