Thu, 2 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Fainali ya michuano ya African Football League itafanyika tarehe 5/11/23 katika jiji la Casablanca, wakati mchezo wa marudio wa fainali hiyo utafanyika kule Afrika ya kusini mnamo November 11, 2023 Mamelod akimalizia shughuli nyumbani.
Fainali ya michuano ya African Football League itafanyika tarehe 5/11/23 katika jiji la Casablanca, wakati mchezo wa marudio wa fainali hiyo utafanyika kule Afrika ya kusini mnamo November 11, 2023 Mamelod akimalizia shughuli nyumbani. Mamelodi wametinga hatua ya Fainali baada ya kuwaondoa Vigogo Al Ahly huku Wydad wao wakiwatoa Esperance De Tunis.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live