Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mama mzazi wa nyota wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki jana ameshuhudia kijana wake akifunga goli kwenye mchezo Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Tabora United katika Uwanja wa Chamazi..
Mama mzazi wa nyota wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki jana ameshuhudia kijana wake akifunga goli kwenye mchezo Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Tabora United katika Uwanja wa Chamazi.. Uwepo wake unahusishwa na suala zima la kuongeza kandarasi kwa Aziz Ki ndani ya Yanga kwani mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live