Fri, 21 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Julian Nagelsmann amejiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya kuwa kocha mkuu mpya wa Chelsea baada ya duru kadhaa za mazungumzo.
Julian Nagelsmann amejiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya kuwa kocha mkuu mpya wa Chelsea baada ya duru kadhaa za mazungumzo. Luis Enrique pia hayupo tena kwenye kinyang'anyiro hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live