Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Makocha 13 watimuliwa EPL mpaka sasa

Frank Lampard Coach.jpeg Frank Lampard huenda akatimuliwa kwa mara nyingine

Tue, 25 Apr 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mpaka sasa ni Jumla ya Makocha 13 ambao wamefutwa kazi kwenye Ligi Kuu ya England msimu huu hadi sasa 2022-2023.

Timu ya Tottenham, Chelsea, Southampton zimeshatimua Makocha wawili ndani ya msimu huu pekee.

Scott Parker - Bournemouth

Thomas Tuchel - Chelsea

Steven Gerrard - Aston Villa

Frank Lampard - Everton

Jesse Marsch - Leeds United

Bruno Lage - Wolves

Ralph Hasenhuttl - Southampton

Nathan Jones - Southampton

Patrick Vieira - Crystal Palace

Antonio Conte - Tottenham

Brendan Rodgers - Leicester City

Graham Potter - Chelsea

Christian Stellini. - Tottenham.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: