Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa klabu ya Chippa Utd Baraka Majogoro ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa Tanzania kinachojiandaa na mechi ya Kufuzu Kombe la dunia 2026 dhidi ya Zambia
Kiungo wa klabu ya Chippa Utd Baraka Majogoro ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa Tanzania kinachojiandaa na mechi ya Kufuzu Kombe la dunia 2026 dhidi ya Zambia Majogoro anatarajia kuripoti kambini siku ya kesho kwaajili ya maandalizi ya mechi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live