Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa ripoti kiungo wa Real Madrid na Ufaransa Eduardo Camavinga amepata Jeraha la goti akiwa kwenye Majukumu ya taifa na kufanya kukosa muda wote uliosalia 2023.
Taarifa kuhusu majeraha zilitoka jana hivyo ilihitajika kufanyiwa uchunguzi ili kufahamu ukubwa wa jeraha na imebainikia rasmi hatutakuwa nae mwaka huu hadi mwakani.
Tukutane mwezi january Camavinga
Chanzo: www.tanzaniaweb.live