Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea imethibitisha kuwa mshambuliaji wao Christopher Nkunku amepata jeraha la katika goti lake ambalo litamfanya kuwa nje kwa muda mrefu.
Nkunku alipata jeraha hilo kwenye mechi ya kirafiki dhidi na ya Borussia Dortmund, baada ya kufanyiwa upasuaji inadaiwa huwa nje ya dimba kwa wiki takriban 16.
Chelsea wataanza msimu wa 2023-24 kwa kucheza na Liverpool siku ya Jumapili
Chanzo: www.tanzaniaweb.live