Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa mshambuliaji wa Azam FC, Raia wa Senegal Alassane Diao atakaa nje ya dimba kwa takribani miezi 7 hadi 9 mara baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti jana Jumatano katika Hospitali ya Vincent Palloti, jijini Cape Town, Afrika Kusini kufuatia majeraha yake ya ACL.
Kwa mujibu wa taarifa mshambuliaji wa Azam FC, Raia wa Senegal Alassane Diao atakaa nje ya dimba kwa takribani miezi 7 hadi 9 mara baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti jana Jumatano katika Hospitali ya Vincent Palloti, jijini Cape Town, Afrika Kusini kufuatia majeraha yake ya ACL.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live