Fri, 10 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Machester United Erik ten Hag amethibitisha kuwa kiungo wao Mason Mount Amepata jeraha na ataukosa mchezo wa wikiendi dhidi ya Arsenal.
Kocha mkuu wa Machester United Erik ten Hag amethibitisha kuwa kiungo wao Mason Mount Amepata jeraha na ataukosa mchezo wa wikiendi dhidi ya Arsenal. Mpaka sasa msimu huu ameshakosa jumla ya michezo 28 kutokana na Majeraha yanayo muandama mara kwa mara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live