Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha wa Manchester city, Kevin De Bruyne atakuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitatu mpaka minne kufuatia majeraha aliyoyapata kwenye mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu nchini Uingereza dhidi ya Burnley.
Nahodha wa Manchester city, Kevin De Bruyne atakuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitatu mpaka minne kufuatia majeraha aliyoyapata kwenye mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu nchini Uingereza dhidi ya Burnley.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live