Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipa namba moja wa Liverpool Alisson Becker amepata majeraha katika mchezo wao dhidi ya Manchester City majeraha yatakayo mfanya asiingie uwanjani kwa takribani wiki 5.
Kipa namba moja wa Liverpool Alisson Becker amepata majeraha katika mchezo wao dhidi ya Manchester City majeraha yatakayo mfanya asiingie uwanjani kwa takribani wiki 5. Je Liverpool watatoboa bila mtu huyu?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live