Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa mbaya kwa mashabiki na wapenzi wa Klabu ya Al Nassr inayoshiriki Ligi kuu nchini Saudi Arabia, ni kwamba klabu hiyo imethibitisha kuwa mchezaji wao Anderson Talisca raia wa Brazil atakuwa nje ya uwanja hadi mwisho wa msimu kufuatia jeraha baya alilolipata.
Taarifa mbaya kwa mashabiki na wapenzi wa Klabu ya Al Nassr inayoshiriki Ligi kuu nchini Saudi Arabia, ni kwamba klabu hiyo imethibitisha kuwa mchezaji wao Anderson Talisca raia wa Brazil atakuwa nje ya uwanja hadi mwisho wa msimu kufuatia jeraha baya alilolipata.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live