Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kobbie Mainoo alikuwa na ‘dribo’ sita dhidi ya Luton (juzi), nyingi zaidi kwa mchezaji wa Manchester United katika Ligi Kuu England tangu Paul Pogba alipofanya hivyo Aprili 2022 (7 vs Norwich).
Kobbie Mainoo alikuwa na ‘dribo’ sita dhidi ya Luton (juzi), nyingi zaidi kwa mchezaji wa Manchester United katika Ligi Kuu England tangu Paul Pogba alipofanya hivyo Aprili 2022 (7 vs Norwich). Dribo sita za Mainoo katika mchezo huo ni nyingi zaidi kuliko walizofanya wenzake wote Manchester United katika mchezo huo (5).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live