Wed, 24 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Algeria Riyad Mahrez amestaafu kuitumikia timu yake ya Taifa ya Algeria.
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Algeria Riyad Mahrez amestaafu kuitumikia timu yake ya Taifa ya Algeria. Tamko hilo linakuja saa chache baada ya Timu ya Algeria kutolewa katika michuano ya AFCON 2023 inayoendelea nchini Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live