Mon, 17 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo kati haya Hull City na Birmingham City ulichelewa kwa dakika 20 kutokana ukubwa wa magoli yaliyokuwepo kwenye uwanja wa MKM uliyokusudiwa kufanyika kwa mechi hiyo ya Championship hapo jana siku ya Jumapili.
Mwamuzi wa mchezo, Leigh Doughty aligundua ukubwa wa magoli hayo kabla ya mechi kuanza na kuamuru yapunguzwe inchi mbili ili yaweze kutumika.
Takribani dakika 20 zilitumika kukamilisha vipimo na milingoti hiyo mitatu kurejeshwa upya ilipokuwa ili mpira uweze kuendelea kama ulivyokusudiwa na mchezo huo kumalizika kwa Hull City 0 – 2 Birmingham City .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live