Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabasi ya Uingereza unaweza ukakaa nusu saa kituoni halitokei hata moja halafu yakitokea ghafla yanakuja mawili kwa pamoja na ndicho ambacho Joseph Guede amekifanya katika mchezo wa jana dhidi ya Polisi Tanzania kwenye kombe la FA.
Mabao yamechelewa kuja wakati anasajiliwa January lakini leo yamekuja mawili ghafla.
Nadhani ni wakati wake sasa kuonesha muendelezo kwa hiki ambacho amekianza na ndilo hasa lengo kuu la kuletwa Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: