Mon, 13 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Soka ya Al-Ahly imethibitisha kuachana na kocha Pitso Mosimane baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. Mosimane ameomba kuondoka kwenye timu hiyo akiwa ameshinda jumla ya mataji matano (5), ikiwa ni pamoja na ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika mara mbili.
Takwimu zake akiwa na timu hiyo
Mechi: 97 Kushinda: 65 Kupoteza: 10 Sare: 22 CAF Champions League 2 CAF Super Cup 2 Egypt Cup 1 Bronze Medal Club World Cup 2
Chanzo: www.tanzaniaweb.live