Sat, 16 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Tottenham Hotspur, James Maddison ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Agosti wa Ligi Kuu England 2023/24.
Maddison (26) alifunga goli moja na kutoa pasi mbili za magoli kwa mwezi Agosti.
Aidha Kocha wa Tottenham Hotspur, Ange Postecoglou ameshinda tuzo ya kocha bora wa Mwezi Agosti wa Ligi Kuu England.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live