Thu, 25 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Tottenham Hotspurz, James Maddison amerejea katika mazoezi kamili ya Tottenham na anaweza kuhusika katika mchezo wao wa Kombe la FA siku ya Ijumaa dhidi ya Man City.
Kiungo wa Tottenham Hotspurz, James Maddison amerejea katika mazoezi kamili ya Tottenham na anaweza kuhusika katika mchezo wao wa Kombe la FA siku ya Ijumaa dhidi ya Man City. Maddison alikuwa nje kwa majeraha ya kifundo cha mguu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live