Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inasemekana baadhi ya Viongozi wa klabu ya Azam wapo tayari kumrejesha Djuma Shaban Klabuni hapo katika dirisha kubwa la Usajili kwakuwa Wanaamini Msimu ujao Wanahitaji kufika Mbali Kimataifa,
Kocha Dabo hafikirii kuongeza Mlinzi wa kulia kwakuwa anaamini Lusajo Mwaikenda anatosha kwa kikosi cha kwanza na amekomaa kimataifa.
Djuma Shaban amekuwa akifanya mazoezi na Azam FC kwa kipindi kirefu tangu alipoachana na Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live