Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa ASEC Mimosas umewaahidi wachezaji kuwapa USD 17,000 kila mmoja sawa na kiasi kisichopungua millioni 45 za kitanzania endapo watafanikiwa kwenda katika Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Uongozi wa ASEC Mimosas umewaahidi wachezaji kuwapa USD 17,000 kila mmoja sawa na kiasi kisichopungua millioni 45 za kitanzania endapo watafanikiwa kwenda katika Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Asec wamesaliwa na Michezo 3 huku miwili wakicheza kwao Nyumbani na Mmoja wakitarajia kucheza ugenini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live