Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa wapya wa ligi kuu ya Uganda Sports Club Villa wapo kwenye mazungumzo ya mwisho kumsajili mchezaji wa zamani wa klabu ya Simba sc na nahodha wa Uganda cranes Emmanuel Okwi.
Mabingwa wapya wa ligi kuu ya Uganda Sports Club Villa wapo kwenye mazungumzo ya mwisho kumsajili mchezaji wa zamani wa klabu ya Simba sc na nahodha wa Uganda cranes Emmanuel Okwi. Okwi ameshatamba na vilabu vya Bongo na hivi sasa alikuwa ni mchezaji huru.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live