Thu, 27 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, leo Julai 27, 2023 wanacheza mechi mbili za kirafiki wakiwa nchini Uturuki walipoweka kambi.
Asubuhi hii majira ya saa 5, wanaanza kukipiga dhidi ya klabu ya Turan FC na baadaye saa 12: 00 jioni watacheza mechi nyingine dhidi ya wapinzani hao hao.
Kikosi kilichoanza asubuhi hii ni:
1. Feruz 2. Jimmyson, 3. Israel 4. Kennedy 5. Kazi 6. Kapama 7. Banda 8. Hamis, 9. Chilunda 10. Kramo 11.Phiri
Chanzo: www.tanzaniaweb.live