Kocha Mkuu wa kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, amewasili asubuhi ya leo Novemba 10, tayari kwa ajili ya kukionoa kikosi hicho.
Pablo amewasili saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Dar es Salaam.
Apoliwasili alipokelewa na Mratibu wa Simba, Abbas Seleman. Kocha huyo aliambatana na Wakala wake ambaye ni Mkenya.
Kocha mpya wa Simba, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Dar es Salaam
— Mwanaspoti (@MwanaspotiTZ) November 10, 2021
Apoliwasili alipokelewa na Mratibu wa Simba, Abbas Seleman. Kocha huyo aliambatana na Wakala wake ambaye ni Mkenya. pic.twitter.com/I7wpdonw4a