Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usajili mpya ndani ya Yanga, winga Denis Nkane umelipa, baada ya kuwainua wananchi kwa kupachika bao la pili.
Usajili mpya ndani ya Yanga, winga Denis Nkane umelipa, baada ya kuwainua wananchi kwa kupachika bao la pili. Yanga inakipiga na Taifa Jang'ombe katika uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar katika michuano ya Mapinduzi Cup.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live