Wekundu wa Msimbazi wameanza kwa ushindi michuano ya Mapinduzi Cup jioni ya leo katika Uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar.
Mabao ya Simba katika mchezo huo yamefungwa na Pape Sakho na Rally Bwalya dakika ya 53 na kuhitimisha ushindi wa magoli 2-0.
Tazama magoli yote katika mchezo huo;
MAPUMZIKO | #MapinduziCup: Hili hapa goli la kutangulia la Simba SC, likiwekwa nyavuni na Pape Sakho
— Azam TV (@azamtvtz) January 5, 2022
HT: Simba 1-0 Selem View
LIVE #AzamSports1HD#MapinduziCup #MapinduziCup2022 #KombeLaMapinduzi #Zanzibar #Zanzibar2022 #KombeLaMapinduzi2022 #SimbaSC #SelemView pic.twitter.com/YvSO3wb1s4
#MapinduziCup: Bao la pili la Simba SC likifungwa kwa shuti la mbali la Rally Bwalya
— Azam TV (@azamtvtz) January 5, 2022
FT: Simba 2-0 Selem View
Mechi inayofuata ni kati ya Yanga SC dhidi ya Taifa Jang’ombe saa 2:15 usiku LIVE #AzamSports1HD#MapinduziCup #MapinduziCup2022 #KombeLaMapinduzi #Zanzibar pic.twitter.com/zAYn6SpzjT