Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pape Ousmane Sakho anawaungurumisha Simba SC katika Uwanja wa Amaan, visiwani Zanzibar kwa goli lake dakika ya 25 kipindi cha kwanza.
Simba wametawala sehemu kubwa ya mchezo huo dhidi ya Selem View ya visiwani Zanzibar.
Pengine labda tutazame dakika 45 za kipindi cha Pili kocha wa Selem View atakuja na mpango gani kuhakikisha anasawazisha goli na kuibuka na ushindi katika mchezo huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live