Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wanafainali wa msimu uliuopita wa Kombe la Mapinduzi Cup, Simba SC wanashuka uwanjani majira ya saa 10:15 jioni ya leo wakitupa karata yao ya kwanza katika michuano hiyo hiyo ya Mapinduzi Cup.
Kikosi cha Simba kimefanya mabadiliko makubwa ukilinganisha na kile kinachoanza mara kwa mara katika michuano ya Ligi Kuu Bara.
Tazama hapa chini kikosi kamili kinachoanza katika mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live