Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanakwenda mapumziko wakiwa kifua mbele kwa bao la Heritier Makambo katika michuano ya Mapinduzi Cup inyoendelea visiwani Zanzibar.
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanakwenda mapumziko wakiwa kifua mbele kwa bao la Heritier Makambo katika michuano ya Mapinduzi Cup inyoendelea visiwani Zanzibar. Yanga wameonesha kiwango safi kwa dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live